ads

Habari Mpya

Monday, November 11, 2013

PRODUSER KILLEN, AMEAMUA KUACHANA NA UBACHELA, NA HII NDIYO HATU YA KWANZA YA KUACHANA NA UBACHELA (ENGAGMENT PARTY)

Pro. Killen na wamsindikizao

walipo tangazwa rasmi kuwa ni wachumba

wenye upendo wa kweli na wa dhati wakaja kudhihirisha.... kwa zawadi mbalimbali


after Ibada

familia ya mlezi wa binti Farida (wa pili kutoka kushoto ni Mr. Mtweve baba mlezi wa Farida akiwa na watoto wake pamoja na Farida)

kijana anakaribishwa nyumbani.... kuwa mmoja wa wanafamilia

waaaacha weweeeee..... hapana chezea KillenFrida.... kama mapacha ( mmefanana kama mayai)

pamoja na msimamizi wa upande wa binti

kila aliye waona alitamani kupiga nao picha.... (kulia ni dada wa Farida)

GENTLEMEN

Add caption


hongera my dear dada, shoga, best, shost, modal...... n.k


"jamanieee hawa wakaka wooote mnao waona hapa hawana hata mchumba" Mch. akiwapigia debe na o wapate watangaze

bintieee... Farida.... Full kutabasamu

jamaniii..... hawa siyo ndugu kweli????

uchumba maombi.... sogelea ufanye CUT and PASTE ufe....

pongezi za ukweli kwa watu wakweli

ukweli hata mie ningechoka.... kuanzia saa kumi na mbili mpaka saa nane...!!! (ibada zoote tatu) hapo bado party

before Party.... (katika ni dada Joylen Mtokambali)

can able to think who is next... after KillenFarida

yaani kama wewe ni mdada na haujatupia kitu cha red.... sijui ulikua unajisikiaje

hapana chezea dada wa the Blogger JohnMinja

kila mtu na dada yake...... behind the scene

kuingia (Killen akiwa amesindikizwa na Dada Joylen (katika hali ya kufanya zoezi)

waaaaacha wewe kumbe unene auzuiii kucheza???? paka chini.... chini tena

nimegundua smile ni ndugu yako....

maombi na mawaidha toka kwa Mch. Alex

jamanii.... limbuko la VOV huyoooo...



ulisha jiuliza kwanini pete ya uchumba inakuwa na kinundu???? na huvishwa mwanamke only????



nipe nikupe.... ndiyo kauli za wapendanao


dolidoli.... nionja pendo lake nitaaaamu... ulilinde Penze lenu lisongeeee...... (sipo unapowaza)

kila mtu na chake mwaego

msinisumbue tena.... sawa wakaka???

meza ya viongozi na wachungaji

na Matv Yalikuwepo.... weweee

Mch. Olembae akisema neno...


mwisho maombi kwa wasiyo na wachumba kabisa.... wakanyoosha mikono juu

maombi mazito toka kwa mch. yakafanyika kwa ajili yetu...



Mch. Alex,


Mch. Lilian

Mwenyekiti wa CAs akajazia


Pro. Killen akiiimba wimbo maalumu huku akisindikizwa na Mchumba wake pamoja na wasimamizi wao...


waliova sare wakaja kutoa kampani...

Na MaTv nayo yanarecord aiseee...



mkono wa pongezi kutoka kwa wachungaji na viongozi...


mara watu wakaanza kugombaniana kwenda kuwashika... ikabidi wapangwe mstari mmoja...







wasaaa wa kwaito huooooo....


muda muafaka ukatimia....




rooommet wake tangu kindagaten mpaka chuo kikuuu....

wasaaaa.... washow ya pamoja ya CAs (wimbo wa I KNOW WHO I AM...!!!!!)


The Blogger naye yumo

mapacha hawoooo....

akapewa nafasi ya kuimba wimbo wowote.....

msimamizi wa mwanaume akashindwa kuvumilia kabisa!!!!!!

woooote wakashindwa kuvulia.... wakaja kuhakikisha ni yeyey kweli???

binti upako ukashuka.....

mara wooooote wakaaanza kunena...

kama kawa kama dawa Pro. Killen na Bestie Joylen...


Pro. Killen na viongozi wa CAs

msimamizi huyoooo

wakike huyoooo...

waliotamani picha na wapendanao wakakuja!!!

Solo guiterman

Musicians

wasimamizi naoo wamoooo  (natamani roho awashukie....)
ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG HII...... BONYEZA NENO COMENT (chini) UTUPE MAONI YAKO kwa lugha yeyote
  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Item Reviewed: PRODUSER KILLEN, AMEAMUA KUACHANA NA UBACHELA, NA HII NDIYO HATU YA KWANZA YA KUACHANA NA UBACHELA (ENGAGMENT PARTY) Description: Rating: 5 Reviewed By: Unknown
Scroll to Top