mambo ya salon na kuchakucha.... |
mapooooozi time |
thanks my best kwa ushirikiano wako kwangu... |
I love you mumy yangu... |
special keki.. |
mumy pamoja na mama mkwe (katikati) wakiingia ukumbini... |
mumy akiingia ukumbini kwa furaha... |
maombi kabla ya yooote.. |
kutambulisha walio ndugu zangu... woooote!!!! |
utambulisho upande wa mama mkwe... |
mama mkwe (katikati) na best zake... |
mumy (kulia) na best zake |
wageni waaalikwa |
ni poooozi tu.... mie na best yangu |
somo kuhusu maombi ndani ya ndoa.... thanks my teacher |
burudani.... kwa anayejua Kudua |
mama yangu mkwe..... |
mumy yangu... |
mwalimu wa uchumi na mambo ya chumbani...... |
mumy na mwalimu... |
ukweli sasa nimejua umuhimu wa kutumia kinu na mtwangio wake kwenye ndoa... |
mwalimu akinifafanulia zaidi kuhusu utumizi wa kinu na mtwangio... ndani ya ndoa |
mambo kukuna nazi hayooo... |
mwalimu akinifafanulia kuhusu umuhimu wa kukuna nazi katika ndoa |
namna ya kukaa wakati wa kupika au kuandaa msosi kwa mumeo... |
burudani na mwalimu... (aliyenyoosha mkono) |
maombi mazito kusudi nisisahauu yooote niliyofundishwa... na Mungu anisaidie |
kataaaa! kataaa! kata usiogope! keki yako mwenyewe! |
asante kwa kunichagua mimi... |
asante kwa kunikubalia kuwa nami... |
aaaahhhh my dogofriend.... I love youuuuu |
asante sana mumy... pokea hichi kidogo nilicho nacho |
I love you mumyy... |
asante mama mkwe kwa kunizalia nimpendaee..... |
kwaiiiitooooossss Time |
special menu kwa Mercia |
Add caption |
ukweli kitamu sana.... |
kapu la mama.... |
wewe ni MTZ hivyo vitu marekani havipo, so usiviache Mercia... |
mother like a daughters |
whose next???? pendeza wewe.. |
hawa ndiyo maflowers girl.....(whose next???) |
kiatu kimefanyaje tena... |
pongezi kwa mumyy... |
wakweeee |
mama mkwe akiwa amemkumbatia mumyy |
pongezi kwa mama zangu wadogo.. |
mamdogo na mumy |
mamdogo na mumy |
mie na mamdogo |
zawadi ya kamati.... picha inayaonesha uhalisia wa maisha ya MTZ |
kufunga kwa maombi |
neno la shukrani toka kwa mumy... kwa wageni waaalikwa |
bye bye jamani tuktane kwenye harusi yangu jamani nawapenda..... mwaaaaa |
au e-mail; shangwemoro@gmail.com
WOTE MNAKARIBISHWA
0 comments:
Post a Comment