ads

Habari Mpya

Sunday, August 4, 2013

IKAWA USIKU, IKAWA MCHANA,.... Saivi ni Mr&Mrs JOHN......

wakati wa mapoudaaaaahhhh... na SUMA SALON














Kuingia kanisani Bethel Revival Temple

salam na baba Askofu, Barnabasi Mtokambali (kushoto) Bwana harusi John Telesfori (kulia)

tayari kwa ibada ya ndoa

viongozi wa sifa walawi

miusicians

Shukuru (mpiga bass)

Richard (mpiga solo)

Samuel (Dramer Boy)

samuel square (mpiga rythm) na (mpiga kebord)

samuel (mpiga rythm)

bwana harusi yupo fasta,... amefika ndani mapemaa...

bibi harusi nae hakuwa mbali....

bwana harusi akenda kupokea....


msajili wa ndoa...

ahadi takatifu kutoka kwa bwana harusi

kutoka kwa bibi harusi

ushahidi wa kuonekana (pete/ring)

nivishe nikuvishe.......

dubwii...

saluti kwa wanyakyusa kwa kupiga goti

mwendo wa kushindana tu..... naye anavishwa

weweeeee..... chezea wanyakyusa! mpaka chini...

mwanzo mwema usiyo na makunyanzi hulindwa kwa maombi maalumu


samuel (mpiga keybord)

ikifikaga hapa kwa ambao hawajazoea hupata tabu kweliii..... chezea kupigabusu mbele za watu...

sahihi katika vyeti vyao vya ndoa.....





makabidio ya vyeti


kama mapachaeeee...

jamanii.... Baba Askofu, anajivunia kuzaa, kulea na kuozesha pia..... Waoh!!!!

ndani ya Morogoro hotel

Mapoooooozi tym














mwendo wa kushindana tu!!!!! nilishe nikulishe.... ngoma droooo!!!!



haya sasa mambo ya zero distance.... kufungua muziki.....


jamani asanteni na kwaherini..... siye twaondoka!!!!


  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Item Reviewed: IKAWA USIKU, IKAWA MCHANA,.... Saivi ni Mr&Mrs JOHN...... Description: Rating: 5 Reviewed By: Unknown
Scroll to Top