ads

Habari Mpya

Friday, August 2, 2013

W-3-W wamshangaza Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mh. Joel Bendera, kwa kilimo cha vitungu ambacho kinauwezo wa kutoa gunia 230 kwa hekari moja.... pamoja na mengineyo katika maonesho ya wakulima nanenane (88) mkoa wa Morogoron

kilimo cha nyanya kilicho bora, kinacho toa zaidi ya debe 2 kwa mche mmoja, pia mche mmoja una urefu wa mita 15 kwenda juu, na unaweza lima kwa mwaka mzima..

pampu za shughuli za kilimo kwa mkulima

Mkuu wa Mkoa akitembelea shughuli za kilimo

kitungu cha ajabu na tofauti kinachotoa gunia 230 kwa hekari 1

kitungu cha F1, kilichomshangaza mheshimiwa... kwa kutoa gunia 230 kwa hekari 1

ndani ya green house

mwonekano wa sehemu ya W-3W ndani ya maonesho ya nanenane Mkoa wa Morogoro
wataalamu wakiwa tayari wameshajipanga kwa maelezo zaidi kwa wahitaji wooote


Newer Post
Previous
This is the last post.
  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

1 comments:

Item Reviewed: W-3-W wamshangaza Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mh. Joel Bendera, kwa kilimo cha vitungu ambacho kinauwezo wa kutoa gunia 230 kwa hekari moja.... pamoja na mengineyo katika maonesho ya wakulima nanenane (88) mkoa wa Morogoron Description: Rating: 5 Reviewed By: Unknown
Scroll to Top