ads

Habari Mpya

Friday, August 2, 2013

maajabu ya shughuli za kilimo cha JKT, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mh. Joel Bendera ajiona kutokujua mengi ya ubunifu wa wakulima katika kilimo.mk

kuwasili kwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mh. Joel Bendera, katika Banda la JKT katika maonesho ya nanenane mkoa wa Morogoro


salamu kwa baadhi ya wahusika wa JKT



sehemu ya mauzo ya bidha za JKT



kitanda cha mti wa mnazi

Mkuu wa wilaya ya Morogoro (katika) akijaribisha kukaa katika kitanda cha mnazi..

office furniture


ndani ya green house JKT (kilimo cha nyanya


Mh. Mkuu wa Mkoa akiwa ndani ya jokofu (friji) ya kutumia mkaa na maji, iliyogunduliwa na JKT, kwa ajili ya kuhifadhia mazao ya mbogamboa na matunda



ufugaji wa kuku JKT



utaalamu wa kupandishia ng'ombe jike bila ya dume- JKT Morogoro


ufugaji wa samaki - JKT Morogoro



kuelekea katika hotuba ya ufnguzi wa maonesho ya nanenane...







Mh. Joel Bendera, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro


  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Item Reviewed: maajabu ya shughuli za kilimo cha JKT, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mh. Joel Bendera ajiona kutokujua mengi ya ubunifu wa wakulima katika kilimo.mk Description: Rating: 5 Reviewed By: Unknown
Scroll to Top