 |
| DADA SUMA MWAKYAMI |
 |
| Mwonekano wa majeneza ya marehemu |
 |
| kwaya ya Living Water kutoka Bethel, ikiimba kwa majonzi makubwa |
 |
| baba askofu Mkuu Dr. Barnabasi Mtokambali, ambaye ndiye mchungaji kiongozi wa Bethel Revival Temple, kanisa alilokuwa ana sali marehemu dada Suma |
 |
| Jimmy Mwakyami (katikati) ambaye alikuwa mume wa marehemu dada Suma, na baba wa watoto |
 |
| salamu za rambirambi toka chama cha vikoba, ambapo Maremu dada Suma alikuwa mwanachama |
 |
| salamu toka kwa chama cha kiwili, ambamo familia ya Suma ilikuwa mwanachama |
 |
| salamu toka shule ya St. Mery's International, ambayo watoto wawili, Ghama Mwakyami na Happyness Mwakyami waliofariki walikuwa wanasoma hapo |
 |
| salamu toka kiwili Ladys, ambamo dada Suma alikuwa member |
 |
| salamu toka TAFFES ambacho dada Suma alikuwa mshirika |
 |
| salamu toka kanisa la Bethel, ambalo dada Suma alisali hapo |
 |
| salamu toka chama cha viazi lishe, ambacho dada Suma alikuwa Mshirika humo |
 |
| salamu toka Chuo cha Kilimo cha Sokoine |
 |
| wimbo wa maombolezo, toka kwa wanafunzi wa St. Mary's |
 |
| mume na baba wa marehemu, Jimmy Mwakyami akitoa heshima zake za mwisho |
BWANA AMETOA........ NA......BWANA AMETWAAA.....!!! JINA LAKE LIBARIKIWE
0 comments:
Post a Comment